Wednesday, October 24, 2012

BIRTHDAY KWA AJILI YA MAENDELEO YA JAMII

Siku ya birthday yangu(6/8) nilipofikisha miaka 22,nilienda shule niliyosoma O-LEVEL,nilitoa dazani mbili za sahani kwa staff ya walimu wa Uyole Sekondari.Kila Kijana anapaswa,kukumbuka alipotoka. Wangapi kati yetu,tumewahi kutumia birthday zetu katika kushiriki shughuli za kijamii?nadhani tunapaswa kubadili mtazamo wetu,wa kufanya sherehe kubwa kupiti kiasi katika birthday,tujifunze kuwa...

KUJITOLEA KATIKA SHUGHULI ZA KIJAMII

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUJENGA HOJA

  vijana tunapaswa kuwa wajengaji wa hoja makini,tena Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Tafakari makini.

Tafakari makini,uleta majibu mengi,katika majibu mengi,hupatikana jibu sahihi...