Sunday, December 23, 2012

MWAKA 2013 NI MWAKA WA KUBADILI FIKRA ZETU

2013 ni mwaka wa kubadili fikra zetu,na kusimamia usahihi,haki na wajibu.Tunuie toka ndani yetu,kuleta mabadiliko katika taifa hili.Wakati wa kuzubaa umeisha,wakati wa kulalamika umeisha,hatuna tena muda wa kuogopa.Kama kila kijana atatambua na kutimiza wajibu wake,tuwe na uhakika tutapata jamii ya vijana wanaowajibika,wanaowajibika kwa kumfuata Mungu,wanaowajibika katika familia zao,wanaowajibika...

Thursday, December 13, 2012

WATOTO WADOGO WAKIFIKIA UMRI KAMA WETU WA KUITWA VIJANA,WAONE NINI KATIKA TAIFA HILI?

Vijana wanakumbwa na changamoto nyingi za kimaisha,taifa letu halina mpango rasmi na mfumo unaotambulika wa kuwaandaa vijana kukabiliana na changamoto za dunia yenye utandawazi,ubepari ulio komaa,teknolojia inayokua kila kukicha. Matokeo...