2013 ni mwaka wa kubadili fikra zetu,na kusimamia usahihi,haki na wajibu.Tunuie toka ndani yetu,kuleta mabadiliko katika taifa hili.Wakati wa kuzubaa umeisha,wakati wa kulalamika umeisha,hatuna tena muda wa kuogopa.Kama kila kijana atatambua na kutimiza wajibu wake,tuwe na uhakika tutapata jamii ya vijana wanaowajibika,wanaowajibika kwa kumfuata Mungu,wanaowajibika katika familia zao,wanaowajibika...
Sunday, December 23, 2012
Thursday, December 13, 2012
WATOTO WADOGO WAKIFIKIA UMRI KAMA WETU WA KUITWA VIJANA,WAONE NINI KATIKA TAIFA HILI?
Vijana wanakumbwa na changamoto
nyingi za kimaisha,taifa letu halina mpango rasmi na mfumo unaotambulika wa
kuwaandaa vijana kukabiliana na changamoto za dunia yenye utandawazi,ubepari
ulio komaa,teknolojia inayokua kila kukicha.
Matokeo...
Subscribe to:
Posts (Atom)