Hapa Tanzania,kuna vijana wana nia nzuri,kuna vijana wabunifu,kuna vijana wanaomwamini na kumtumikia Mungu,kuna vijana wenye tabia nzuri,kuna vijana wenye fikra makini na maamuzi makini,kuna vijana waaminifu,kuna vijana wanaojua nini maana ya kuwa kijana,kuna vijana wanaojua jinsi ya kuishi na watu,kuna vijana wenye heshima,kuna vijana walio na maono(vision).Vijana wa namna hiyo,watendeeni watu wema...
Thursday, May 2, 2013
AMUA KUISHI MAISHA YAKO
Si kila mtu atakuona wewe ni wathamani,lakini haimaanishi kwamba wewe siyo wa thamani,wewe ni wathamani sana,maneno ya watu yasiku umize,dunia hii ukisema usikilize kila lisemwalo juu yako,utajikuta unaishi maisha ya wengine na siyo...
TAFAKARI
hakuna mtu ambaye hapigi hatua kwenye maisha yake,aidha unasonga mbele kwenye maisha yako au hausongi mbel...
RISE TO THE TOP OF OUR FIELD.
“If we recognize our talents and use them appropriately, and choose a field that uses those talents, we will rise to the top of our field.” ―Ben Carso...
NAOMBA JIBU
Utambulisho(identity)wako, ni nini?,unajulikana kwa lipi,?unajua unataka kufanya nini na maisha yako?na mpaka sasa umefanya kitu gani?TAFAKA...
Subscribe to:
Posts (Atom)