Tuesday, January 14, 2014

MUSTAKABALI WETU

Na Baraka Daniel Kiranga(23). Dar es Salaam Tanzania Kuna mambo mengi sana yanayotokea katika jamii yetu,na kila jambo lina sababu yake,na maana yake pindi linapotokea katika maisha yetu.Sisi kama vijana hatuna budi kujifunza...