Kadri siku zinavyokwenda,kuna haja ya kujishibisha maarafi Zaidi. Bila ya maarifa ya kutosha,utashi wa kufikiri na mikakati yenye ubunifu,ni ngumu sana kuhimili dunia yetu yenye ushindani wa hali ya juu sana.Maarifa,utashi wa kufikiri,ubunifu ni nguvu kubwa sana,kumbuka nguvu isiyo onekana ina nguvu zaidi kuliko nguvu inayo onekan...
Sunday, April 20, 2014
Thursday, March 20, 2014
UWE SAUTI YAO, KAMA ANNA AIDAN ALIVYO SAUTI YAO

Mwaka juzi 13/12/2012,
Niliandika Makala yenye kichwa “watoto wadogo wakifikia umri kama wetu wa
kuitwa vijana,waone nini katika taifa hili?”,Makala hii inapatikana katika blog
yangu,kama iliyvo ada ya blog yangu kuandika juu ya masuala ya msingi na habari
za kuhamasisha(inspiration),na siyo zile habari za nani alikuwa na nani “week
end” liyopita,nani alipendeza Zaidi ya mwenzeka,nadhani tunapaswa...
Tuesday, January 14, 2014
MUSTAKABALI WETU
Na Baraka
Daniel Kiranga(23).
Dar es
Salaam
Tanzania
Kuna
mambo mengi sana yanayotokea katika jamii yetu,na kila jambo lina sababu
yake,na maana yake pindi linapotokea katika maisha yetu.Sisi kama vijana hatuna
budi kujifunza...
Subscribe to:
Posts (Atom)