Sunday, April 20, 2014

kujishibisha maarifa Zaidi

Kadri siku zinavyokwenda,kuna haja ya kujishibisha maarafi Zaidi. Bila ya maarifa ya kutosha,utashi wa kufikiri na mikakati yenye ubunifu,ni ngumu sana kuhimili dunia yetu yenye ushindani wa hali ya juu sana.Maarifa,utashi wa kufikiri,ubunifu ni nguvu kubwa sana,kumbuka nguvu isiyo onekana ina nguvu zaidi kuliko nguvu inayo onekan...

Thursday, March 20, 2014

UWE SAUTI YAO, KAMA ANNA AIDAN ALIVYO SAUTI YAO

Mwaka juzi 13/12/2012, Niliandika Makala yenye kichwa “watoto wadogo wakifikia umri kama wetu wa kuitwa vijana,waone nini katika taifa hili?”,Makala hii inapatikana katika blog yangu,kama iliyvo ada ya blog yangu kuandika juu ya masuala ya msingi na habari za kuhamasisha(inspiration),na siyo zile habari za nani alikuwa na nani “week end” liyopita,nani alipendeza Zaidi ya mwenzeka,nadhani tunapaswa...

Tuesday, January 14, 2014

MUSTAKABALI WETU

Na Baraka Daniel Kiranga(23). Dar es Salaam Tanzania Kuna mambo mengi sana yanayotokea katika jamii yetu,na kila jambo lina sababu yake,na maana yake pindi linapotokea katika maisha yetu.Sisi kama vijana hatuna budi kujifunza...