
Mwaka juzi 13/12/2012,
Niliandika Makala yenye kichwa “watoto wadogo wakifikia umri kama wetu wa
kuitwa vijana,waone nini katika taifa hili?”,Makala hii inapatikana katika blog
yangu,kama iliyvo ada ya blog yangu kuandika juu ya masuala ya msingi na habari
za kuhamasisha(inspiration),na siyo zile habari za nani alikuwa na nani “week
end” liyopita,nani alipendeza Zaidi ya mwenzeka,nadhani tunapaswa...