Thursday, March 20, 2014

UWE SAUTI YAO, KAMA ANNA AIDAN ALIVYO SAUTI YAO

Mwaka juzi 13/12/2012, Niliandika Makala yenye kichwa “watoto wadogo wakifikia umri kama wetu wa kuitwa vijana,waone nini katika taifa hili?”,Makala hii inapatikana katika blog yangu,kama iliyvo ada ya blog yangu kuandika juu ya masuala ya msingi na habari za kuhamasisha(inspiration),na siyo zile habari za nani alikuwa na nani “week end” liyopita,nani alipendeza Zaidi ya mwenzeka,nadhani tunapaswa...