Sunday, December 23, 2012

MWAKA 2013 NI MWAKA WA KUBADILI FIKRA ZETU

2013 ni mwaka wa kubadili fikra zetu,na kusimamia usahihi,haki na wajibu.Tunuie toka ndani yetu,kuleta mabadiliko katika taifa hili.Wakati wa kuzubaa umeisha,wakati wa kulalamika umeisha,hatuna tena muda wa kuogopa.Kama kila kijana atatambua na kutimiza wajibu wake,tuwe na uhakika tutapata jamii ya vijana wanaowajibika,wanaowajibika kwa kumfuata Mungu,wanaowajibika katika familia zao,wanaowajibika...

Thursday, December 13, 2012

WATOTO WADOGO WAKIFIKIA UMRI KAMA WETU WA KUITWA VIJANA,WAONE NINI KATIKA TAIFA HILI?

Vijana wanakumbwa na changamoto nyingi za kimaisha,taifa letu halina mpango rasmi na mfumo unaotambulika wa kuwaandaa vijana kukabiliana na changamoto za dunia yenye utandawazi,ubepari ulio komaa,teknolojia inayokua kila kukicha. Matokeo...

Friday, November 30, 2012

Realizing Your Dreams

You have a dream, so what’s next? How do you bring your dream to pass? What do you do when you hit insurmountable roadblocks? Like the captain of a ship in the midst of a brutal storm, Myles Monroe safely guides you through the rough waters to your port of destiny.You were born to win and Dr. Monroe will inspire you to take your life out of neutral and get busy about fulfilling your God-given vision! by...

Tuesday, November 27, 2012

Waiting and Dating Quotes-DR.Myles Munroe

“Healthy relationships should always begin at the spiritual and intellectual levels - the levels of purpose, motivation, interests, dreams,and personality.” ― Myles Munroe, Waiting and Dating “Friendship is not a gift, but is the result of hard work.” ― Myles Munroe, Waiting and Dating...

Saturday, November 17, 2012

LIVE OUT OF YOUR IMAGINATION

...

Tuesday, November 13, 2012

HATU PASWI KUKATA TAMAA

Tunaishi kwenye jamii ya watu walio na mitazamo tofauti juu ya maisha,wana tenda matendo tofauti,wana fikiri kitofauti,hawafanani wanapo onyesha hisia zao juu ya masuala mbali mbali ya kimaisha. kila mmoja ana mfumo wake wa maisha,na kila siku watu wanapoendelea na maisha,hukutana na changamoto mbali mbali za kimaisha. Tumetofautiana jinsi tunavyokabiliana na kuta tua changamoto hizo,wapo...

Monday, November 12, 2012

JOEL OSTTEEN

Watu wengi sana,wana angalia udhaifu wao,na hawa angalia uwezo wao au usahihi wao,mtu ukiangalia udhaifu wako hauta yafurahia maisha,tunapaswa kuyafirahia maisha. Angalia uwezo ulionao,jipange na utumie uwezo wako,muda mwingi fanya vitu vinavyoendana na uwezo wak...

MABADILIKO CHANYA

ili uwe mtu wa mabadiliko chanya,unapaswa kutambua mabadiliko ya kweli huanzaia ndani ya mtu,na kisha udhihirisho huanza kuonekana katika matendo yako,maneno yako,jinsi unavyoishi na jamii yako...

KUAMUA

Unaweza ukaleta mabadilko katika maisha yako,iwapo tu uta amua toka ndani yako...

HAMASA

Hii ni blog inayohusu masuala ya hamasa(Inspiration),kwa nini ninapenda kuwahamasisha watu,ni kwa sababu nina amini watu wakihamasishwa hupata hari mpya ya kuwa wabunifu na kufanya kazi kwa bidii,kupitia hamasa mtazamo wetu juu ya maisha hubadilika,yale tuliyokuwa tunaona hayawezekani,huwa tuna anza kuona yanawezekana,hali ya kukata tama huondoka ndani yetu.Hamasa hutufanya kuwa watu...

NYAMAZA

Usilie nyamaza,hilo nalo linapita...

AFRICA NI YETU

Vijana wa Africa tujitume,Africa ni yetu,tuwe suluhu ya matatizo yanayoikumba jamii. ...

UFANISI

Tunapaswa kutumia simu yako kwa ufanisi,ukilinganisha na uwezo wa simu yako,kama una simu yenye uwezo wa kufanya vitu vingi,hakikisha unaitumia vyema,vinginevyo utakuwa una underutilize...

MUNGU,NIGUSE TENA.

Mungu, niguse tena,ukinigusa tena,nitakuwa salama,nimejaribu bila ya wewe,sijawahi shinda,naomba uniguse tena,niguse Baba,ukinigusa wewe nitakuwa salama...

TUNA PASWA KUWA WABUNIFU

Tunapaswa kuwa wabunifu,maisha yasiyo na ubunifu ni maisha mzigo,kwanini nina sisitiza ubunifu?tunapokuwa wabunifu,tunapata suluhu ya matatizo yanayotukabili,matatizo yaliyopo yanapaswa kutafutiwa suluhu,ili maisha yasonge mbele kama inavyotakiwa.Sisi vijana tunapaswa kuwa wabunifu,ili tutatue matatizo ya jamii yetu,jamii yetu haipaswi kuyazoea matatizo,kwani hatukuumbwa ili tuishi katika...

Sunday, November 11, 2012

CHOOSING TO BE POSITIVE AND HAVING A GRATEFUL ATTITUDE

...

UNAJIFUNZA NINI ? KUTOKA KWENYE PICHA HII

 Umeona nini kwenye hii picha?mimi naona wakina dada wa Tanzania wana paswa kujifunza kutengeneza hoja,na kuzi wasilisha mbele ya kadamnasi....

TUNAPASWA KUYAISHI MABADILIKO

Hatuna tena muda wa kulalamika,tunachopaswa kutambua,katika ulalamishi hakuna majibu,tuna paswa kutafakari juu ya mfumo mzima wa maisha yetu ya kila siku,tukitaka kuona mabadiliko chanya katika maisha yetu,tunapaswa kuyaishi mabadiliko tunayoyataka katika maisha yetu. ...

VIJANA WA AFRICA,TUNA MENGI YA KUJIFUNZA

Tutazame mbali zaidi,na tunuie kuwa na maono makubwa,Africa ni yetu. Vijana wa Africa tuna mengi ya kujifunza na kuyatendea kazi,wakati wetu ndiyo huu,usikatishwe tamaa na historia ya maisha yako au maneno ambayo watu wana nena juu yako,wewe songa mbele,Mungu yupo upande wako...

Wednesday, October 24, 2012

BIRTHDAY KWA AJILI YA MAENDELEO YA JAMII

Siku ya birthday yangu(6/8) nilipofikisha miaka 22,nilienda shule niliyosoma O-LEVEL,nilitoa dazani mbili za sahani kwa staff ya walimu wa Uyole Sekondari.Kila Kijana anapaswa,kukumbuka alipotoka. Wangapi kati yetu,tumewahi kutumia birthday zetu katika kushiriki shughuli za kijamii?nadhani tunapaswa kubadili mtazamo wetu,wa kufanya sherehe kubwa kupiti kiasi katika birthday,tujifunze kuwa...

KUJITOLEA KATIKA SHUGHULI ZA KIJAMII

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUJENGA HOJA

  vijana tunapaswa kuwa wajengaji wa hoja makini,tena Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Tafakari makini.

Tafakari makini,uleta majibu mengi,katika majibu mengi,hupatikana jibu sahihi...

Saturday, August 4, 2012

TYVA FAHARI YETU, MUSTAKABALI WA TANZANIA

Kuna asasi makini,kuna vijana makini.Taifa letu ili liendelee linahitaji vijana makini,kwani siku zote taifa makini hujengwa na vijana makini.TYVA ni asasi makini ambayo inawafanya vijana wawe makini,shughuli za TYVA zimekuwa chachu ya kuwafanya vijana wajitambue,watumie vipaji vyao katika kujiletea maendeleo yao wenyewe na kwa taifa kwa ujumla.TYVA imekuwa mstari wa mbele katika kuanzisha na kusimamia...