2013 ni mwaka wa kubadili fikra zetu,na kusimamia usahihi,haki na wajibu.Tunuie toka ndani yetu,kuleta mabadiliko katika taifa hili.Wakati wa kuzubaa umeisha,wakati wa kulalamika umeisha,hatuna tena muda wa kuogopa.Kama kila kijana atatambua na kutimiza wajibu wake,tuwe na uhakika tutapata jamii ya vijana wanaowajibika,wanaowajibika kwa kumfuata Mungu,wanaowajibika katika familia zao,wanaowajibika...
Sunday, December 23, 2012
Thursday, December 13, 2012
WATOTO WADOGO WAKIFIKIA UMRI KAMA WETU WA KUITWA VIJANA,WAONE NINI KATIKA TAIFA HILI?
Vijana wanakumbwa na changamoto
nyingi za kimaisha,taifa letu halina mpango rasmi na mfumo unaotambulika wa
kuwaandaa vijana kukabiliana na changamoto za dunia yenye utandawazi,ubepari
ulio komaa,teknolojia inayokua kila kukicha.
Matokeo...
Friday, November 30, 2012
Realizing Your Dreams

You have a dream, so what’s next? How do you bring your dream to pass? What do you do when you hit insurmountable roadblocks? Like the captain of a ship in the midst of a brutal storm, Myles Monroe safely guides you through the rough waters to your port of destiny.You were born to win and Dr. Monroe will inspire you to take your life out of neutral and get busy about fulfilling your God-given vision!
by...
Tuesday, November 27, 2012
Waiting and Dating Quotes-DR.Myles Munroe

“Healthy relationships should always begin at the spiritual and intellectual levels - the levels of purpose, motivation, interests, dreams,and personality.”
― Myles Munroe, Waiting and Dating
“Friendship is not a gift, but is the result of hard work.”
― Myles Munroe, Waiting and Dating...
Saturday, November 17, 2012
Tuesday, November 13, 2012
HATU PASWI KUKATA TAMAA
Tunaishi kwenye jamii ya watu walio na mitazamo tofauti juu ya
maisha,wana tenda matendo tofauti,wana fikiri kitofauti,hawafanani
wanapo onyesha hisia zao juu ya masuala mbali mbali ya kimaisha.
kila mmoja ana
mfumo wake wa maisha,na kila siku watu wanapoendelea na maisha,hukutana na changamoto
mbali mbali za kimaisha.
Tumetofautiana jinsi tunavyokabiliana na kuta tua
changamoto hizo,wapo...
Monday, November 12, 2012
JOEL OSTTEEN

Watu wengi sana,wana angalia udhaifu wao,na hawa angalia
uwezo wao au usahihi wao,mtu ukiangalia udhaifu wako hauta yafurahia
maisha,tunapaswa kuyafirahia maisha.
Angalia uwezo ulionao,jipange na utumie uwezo wako,muda
mwingi fanya vitu vinavyoendana na uwezo wak...
MABADILIKO CHANYA
ili uwe mtu wa mabadiliko chanya,unapaswa kutambua mabadiliko
ya kweli huanzaia ndani ya mtu,na kisha udhihirisho huanza kuonekana katika
matendo yako,maneno yako,jinsi unavyoishi na jamii yako...
HAMASA

Hii ni blog inayohusu masuala ya hamasa(Inspiration),kwa
nini ninapenda kuwahamasisha watu,ni kwa sababu nina amini watu wakihamasishwa
hupata hari mpya ya kuwa wabunifu na kufanya kazi kwa bidii,kupitia hamasa
mtazamo wetu juu ya maisha hubadilika,yale tuliyokuwa tunaona hayawezekani,huwa
tuna anza kuona yanawezekana,hali ya kukata tama huondoka ndani yetu.Hamasa
hutufanya kuwa watu...
AFRICA NI YETU

Vijana wa Africa tujitume,Africa ni yetu,tuwe suluhu ya
matatizo yanayoikumba jamii.
...
UFANISI

Tunapaswa kutumia simu yako kwa ufanisi,ukilinganisha na
uwezo wa simu yako,kama una simu yenye uwezo wa kufanya vitu vingi,hakikisha
unaitumia vyema,vinginevyo utakuwa una underutilize...
MUNGU,NIGUSE TENA.

Mungu, niguse tena,ukinigusa tena,nitakuwa salama,nimejaribu
bila ya wewe,sijawahi shinda,naomba uniguse tena,niguse Baba,ukinigusa wewe
nitakuwa salama...
TUNA PASWA KUWA WABUNIFU

Tunapaswa kuwa wabunifu,maisha yasiyo na ubunifu ni maisha
mzigo,kwanini nina sisitiza ubunifu?tunapokuwa wabunifu,tunapata suluhu ya
matatizo yanayotukabili,matatizo yaliyopo yanapaswa kutafutiwa suluhu,ili
maisha yasonge mbele kama inavyotakiwa.Sisi vijana tunapaswa kuwa wabunifu,ili
tutatue matatizo ya jamii yetu,jamii yetu haipaswi kuyazoea matatizo,kwani
hatukuumbwa ili tuishi katika...
Sunday, November 11, 2012
UNAJIFUNZA NINI ? KUTOKA KWENYE PICHA HII

Umeona nini kwenye
hii picha?mimi naona wakina dada wa Tanzania wana paswa kujifunza kutengeneza
hoja,na kuzi wasilisha mbele ya kadamnasi....
TUNAPASWA KUYAISHI MABADILIKO
Hatuna tena muda wa kulalamika,tunachopaswa kutambua,katika
ulalamishi hakuna majibu,tuna paswa kutafakari juu ya mfumo mzima wa maisha
yetu ya kila siku,tukitaka kuona mabadiliko chanya katika maisha yetu,tunapaswa
kuyaishi mabadiliko tunayoyataka katika maisha yetu.
...
VIJANA WA AFRICA,TUNA MENGI YA KUJIFUNZA

Tutazame mbali zaidi,na tunuie kuwa na maono makubwa,Africa ni yetu.
Vijana wa Africa tuna mengi ya kujifunza na kuyatendea
kazi,wakati wetu ndiyo huu,usikatishwe tamaa na historia ya maisha yako au
maneno ambayo watu wana nena juu yako,wewe songa mbele,Mungu yupo upande wako...
Wednesday, October 24, 2012
BIRTHDAY KWA AJILI YA MAENDELEO YA JAMII
Siku ya
birthday yangu(6/8) nilipofikisha miaka
22,nilienda shule niliyosoma
O-LEVEL,nilitoa
dazani mbili za sahani kwa staff ya walimu wa
Uyole
Sekondari.Kila Kijana anapaswa,kukumbuka
alipotoka.
Wangapi kati yetu,tumewahi kutumia birthday zetu
katika kushiriki shughuli za kijamii?nadhani tunapaswa kubadili mtazamo wetu,wa kufanya sherehe kubwa kupiti kiasi katika birthday,tujifunze kuwa...
KUJENGA HOJA
vijana tunapaswa kuwa wajengaji wa hoja makini,tena
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
...
Saturday, August 4, 2012
TYVA FAHARI YETU, MUSTAKABALI WA TANZANIA
Kuna asasi makini,kuna vijana makini.Taifa letu ili liendelee linahitaji vijana makini,kwani siku zote taifa makini hujengwa na vijana makini.TYVA ni asasi makini ambayo inawafanya vijana wawe makini,shughuli za TYVA zimekuwa chachu ya kuwafanya vijana wajitambue,watumie vipaji vyao katika kujiletea maendeleo yao wenyewe na kwa taifa kwa ujumla.TYVA imekuwa mstari wa mbele katika kuanzisha na kusimamia...
Subscribe to:
Posts (Atom)