Wednesday, October 24, 2012

BIRTHDAY KWA AJILI YA MAENDELEO YA JAMII

Siku ya birthday yangu(6/8) nilipofikisha miaka

22,nilienda shule niliyosoma O-LEVEL,nilitoa

dazani mbili za sahani kwa staff ya walimu wa

Uyole Sekondari.Kila Kijana anapaswa,kukumbuka

alipotoka.

Wangapi kati yetu,tumewahi kutumia birthday zetu
katika kushiriki shughuli za kijamii?nadhani tunapaswa kubadili mtazamo wetu,wa kufanya sherehe kubwa kupiti kiasi katika birthday,tujifunze kuwa sehemu ya jamii.




Nikikabidhi dazani mbili za sahani,kwa makamu

mkuu wa shule ya Uyole Secondary.




Nilipata nafasi ya kuongea na wanafunzi wa kidato

cha pili.




KUJITOLEA KATIKA SHUGHULI ZA KIJAMII


Nikiwa na viongozi wa Mbeya youth development network,tukifanya usafi kuzunguka jengo la bohari ya hospitali ya rufaa mbeya.usafi huu ulifanyika tarehe 11/9/2012.











KUJENGA HOJA

vijana tunapaswa kuwa wajengaji wa hoja makini,tena
  hoja makini na zenye nguvu,kwa ajili ya maendeleo yetu na kwa taifa kwa ujumla








Tafakari makini.

Tafakari makini,uleta majibu mengi,katika majibu mengi,hupatikana jibu sahihi.