Sunday, April 20, 2014

kujishibisha maarifa Zaidi

Kadri siku zinavyokwenda,kuna haja ya kujishibisha maarafi Zaidi. Bila ya maarifa ya kutosha,utashi wa kufikiri na mikakati yenye ubunifu,ni ngumu sana kuhimili dunia yetu yenye ushindani wa hali ya juu sana.Maarifa,utashi wa kufikiri,ubunifu ni nguvu kubwa sana,kumbuka nguvu isiyo onekana ina nguvu zaidi kuliko nguvu inayo onekana.

0 maoni:

Post a Comment