Wednesday, September 25, 2013

KUWA SHUJAA WAKO MWENYEWE.



Huwa unaanza usiku kisha inafuata asubuhi,wakati wa usiku mtu anaweza akajikwaa kwa sababu ya kuto ona vizuri,lakini inapofika asubuhi mtu huweza kuona vizuri na kufanya shughuli zake kwa ufanisi zaidi,asubuhi mtu huwa ana nguvu zaidi,asubuhi ya kesho amua kuwa shujaa wako mwenyewe,mara nyingi sana tunapenda kuonana na baadhi ya watu fulani katika jamii yetu,tukiamini wao ni mashujaa na wana uwezo wa kitofauti,je ulisha wahi kutamani kuonana na wewe?na je ungefurahi ungeonana na wewe au ungekuwa rafiki na wewe?TAFAKARI.

0 maoni:

Post a Comment