Wednesday, September 25, 2013

TUNA WAJIBU WA KUBADILI FIKRA ZETU

Makosa mengi tunayoyatenda ni matokeo ya fikra zetu,aidha tunatenda pasipo kufikiri au tunafikiri sana pasipo kutenda,na mwisho wake tunabaki kwenye maisha yale yale ya kila siku na tunafika mahali tunaridhika na matatizo tuliyonayo,tukiendelea hivi hatutafika,na hata tukifika tutafika mahali pa baya,kuna haja ya kubadilika sana,na dakika ya kubadilika ni sasa.

0 maoni:

Post a Comment