Monday, November 12, 2012

HAMASA




Hii ni blog inayohusu masuala ya hamasa(Inspiration),kwa nini ninapenda kuwahamasisha watu,ni kwa sababu nina amini watu wakihamasishwa hupata hari mpya ya kuwa wabunifu na kufanya kazi kwa bidii,kupitia hamasa mtazamo wetu juu ya maisha hubadilika,yale tuliyokuwa tunaona hayawezekani,huwa tuna anza kuona yanawezekana,hali ya kukata tama huondoka ndani yetu.Hamasa hutufanya kuwa watu wenye furaha na amani

0 maoni:

Post a Comment