Monday, November 12, 2012

TUNA PASWA KUWA WABUNIFU


Tunapaswa kuwa wabunifu,maisha yasiyo na ubunifu ni maisha mzigo,kwanini nina sisitiza ubunifu?tunapokuwa wabunifu,tunapata suluhu ya matatizo yanayotukabili,matatizo yaliyopo yanapaswa kutafutiwa suluhu,ili maisha yasonge mbele kama inavyotakiwa.Sisi vijana tunapaswa kuwa wabunifu,ili tutatue matatizo ya jamii yetu,jamii yetu haipaswi kuyazoea matatizo,kwani hatukuumbwa ili tuishi katika matatizo,na unapaswa kutambua,matatizo yanakuja na kuondoka,wewe utabaki na kuendelea na maisha,usikate tama.

0 maoni:

Post a Comment