Sunday, November 11, 2012

VIJANA WA AFRICA,TUNA MENGI YA KUJIFUNZA

Tutazame mbali zaidi,na tunuie kuwa na maono makubwa,Africa ni yetu.
Vijana wa Africa tuna mengi ya kujifunza na kuyatendea kazi,wakati wetu ndiyo huu,usikatishwe tamaa na historia ya maisha yako au maneno ambayo watu wana nena juu yako,wewe songa mbele,Mungu yupo upande wako

0 maoni:

Post a Comment