Sunday, November 11, 2012

TUNAPASWA KUYAISHI MABADILIKO


Hatuna tena muda wa kulalamika,tunachopaswa kutambua,katika ulalamishi hakuna majibu,tuna paswa kutafakari juu ya mfumo mzima wa maisha yetu ya kila siku,tukitaka kuona mabadiliko chanya katika maisha yetu,tunapaswa kuyaishi mabadiliko tunayoyataka katika maisha yetu.


0 maoni:

Post a Comment